14 na popote atakapoingia mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anasema: “Kiko wapi chumba cha wageni kwa ajili yangu ambamo ninaweza kula pasaka+ pamoja na wanafunzi wangu?” ’+
11 Nanyi lazima mmwambie mwenye nyumba hiyo, ‘Mwalimu anakuambia wewe: “Kiko wapi chumba cha wageni ambacho humo ninaweza kula pasaka pamoja na wanafunzi wangu?” ’+