Kumbukumbu la Torati 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Luka 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu Mwana wa binadamu anaenda zake kulingana na ilivyopangwa;+ hata hivyo, ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake huyo atasalitiwa!”+
25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
22 Kwa sababu Mwana wa binadamu anaenda zake kulingana na ilivyopangwa;+ hata hivyo, ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake huyo atasalitiwa!”+