Marko 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini akaanza kusema maneno kwa kusisitiza: “Nikilazimika kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Pia, wengine wote wakaanza kusema vivyo hivyo.+ Luka 22:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo akamwambia: “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na pia katika kifo.”+
31 Lakini akaanza kusema maneno kwa kusisitiza: “Nikilazimika kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Pia, wengine wote wakaanza kusema vivyo hivyo.+