Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+ Marko 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi baada ya Yohana kukamatwa Yesu akaenda Galilaya,+ akihubiri habari njema ya Mungu+ Marko 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wakamkamata Yohana na kumfunga gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake, kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+ Luka 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 aliongeza hili pia kwa matendo yote hayo: alimfungia Yohana gerezani.+
3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+
17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wakamkamata Yohana na kumfunga gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake, kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+