Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+

  • Marko 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi baada ya Yohana kukamatwa Yesu akaenda Galilaya,+ akihubiri habari njema ya Mungu+

  • Marko 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wakamkamata Yohana na kumfunga gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake, kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+

  • Luka 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 aliongeza hili pia kwa matendo yote hayo: alimfungia Yohana gerezani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki