Luka 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+ Yohana 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Yuda akachukua kikosi cha askari-jeshi na maofisa wa wakuu wa makuhani na wa Mafarisayo nao wakaja hapo wakiwa na mienge na taa na silaha.+
47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+
3 Kwa hiyo Yuda akachukua kikosi cha askari-jeshi na maofisa wa wakuu wa makuhani na wa Mafarisayo nao wakaja hapo wakiwa na mienge na taa na silaha.+