Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+ Luka 22:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 na baada ya kumfunika wakawa wakiuliza na kusema: “Toa unabii. Ni nani aliyekupiga?”+
65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+