Marko 14:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 na, alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na yule Mnazareti, Yesu huyu.”+ Yohana 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+
67 na, alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na yule Mnazareti, Yesu huyu.”+
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+