Marko 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia, wakawa wakimpiga kichwani kwa utete na kumtemea mate na kumsujudia wakiwa wamepiga magoti.+ Yohana 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+
3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+