Mathayo 26:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga katika siku tatu.’ ”+ Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akajibu, akawaambia: “Libomoeni hekalu+ hili, na katika siku tatu nitalisimamisha.”
61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga katika siku tatu.’ ”+