Luka 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Hata wale askari wakamdhihaki,+ wakija karibu na kumpa divai kali+ Yohana 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Chombo kimoja kilichojaa divai kali kilikuwa hapo. Kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo na kukileta kwenye kinywa chake.+
29 Chombo kimoja kilichojaa divai kali kilikuwa hapo. Kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo na kukileta kwenye kinywa chake.+