Marko 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa yule ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama kando yake akimtazama, alipoona kwamba amekufa katika hali hizo, akasema: “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+ Luka 23:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa sababu ya kuona lililokuwa limetukia yule ofisa-jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+
39 Sasa yule ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama kando yake akimtazama, alipoona kwamba amekufa katika hali hizo, akasema: “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+
47 Kwa sababu ya kuona lililokuwa limetukia yule ofisa-jeshi akaanza kumtukuza Mungu, akisema: “Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwadilifu.”+