38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.
12 Lakini walipomwamini Filipo, aliyekuwa akitangaza habari njema ya ufalme wa Mungu+ na juu ya jina la Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na pia wanawake.+