11 Lakini umati ulipojua, ukamfuata. Naye akawapokea kwa fadhili na kuanza kuwaambia juu ya ufalme wa Mungu,+ naye akawaponya wale wanaohitaji kuponywa.+
38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+