Ezekieli 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wakuu wake walio katikati yake ni kama mbwa-mwitu wanaorarua mawindo katika kumwaga damu,+ katika kuangamiza nafsi kusudi wapate pato lisilo la haki.+ Matendo 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,
27 Wakuu wake walio katikati yake ni kama mbwa-mwitu wanaorarua mawindo katika kumwaga damu,+ katika kuangamiza nafsi kusudi wapate pato lisilo la haki.+
29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,