Mathayo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+ Marko 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, baada ya siku kadhaa akaingia tena Kapernaumu na habari zikaenea kwamba yuko nyumbani.+ Luka 8:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa hiyo umati wote kutoka nchi yenye kuzunguka ya Wagerasene ukamwomba aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wameshikwa na woga mkubwa.+ Ndipo akapanda ndani ya mashua na kurudi.
13 Zaidi ya hayo, baada ya kuondoka Nazareti, alikuja na kukaa katika Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali,+
2 Hata hivyo, baada ya siku kadhaa akaingia tena Kapernaumu na habari zikaenea kwamba yuko nyumbani.+
37 Kwa hiyo umati wote kutoka nchi yenye kuzunguka ya Wagerasene ukamwomba aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wameshikwa na woga mkubwa.+ Ndipo akapanda ndani ya mashua na kurudi.