Marko 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na watu wakaja wakimletea mtu mwenye kupooza akiwa amebebwa na watu wanne.+ Luka 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na, tazama! wanaume waliokuwa wamembeba kitandani mtu aliyekuwa amepooza, nao walikuwa wakitafuta njia ya kumwingiza na kumweka mbele yake.+ Luka 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, walipokosa njia ya kumwingiza kwa sababu ya umati, wakapanda juu kwenye paa, na kupitia vigae wakamshusha chini pamoja na kile kitanda kidogo kati ya wale waliokuwa mbele ya Yesu.+
18 Na, tazama! wanaume waliokuwa wamembeba kitandani mtu aliyekuwa amepooza, nao walikuwa wakitafuta njia ya kumwingiza na kumweka mbele yake.+
19 Kwa hiyo, walipokosa njia ya kumwingiza kwa sababu ya umati, wakapanda juu kwenye paa, na kupitia vigae wakamshusha chini pamoja na kile kitanda kidogo kati ya wale waliokuwa mbele ya Yesu.+