22 Na, tazama! mwanamke Mfoinike+ kutoka katika maeneo hayo akatoka na kupaaza sauti kubwa, akisema: “Uwe na rehema juu yangu,+ Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa sana na roho mwovu.”
17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+