2 Ndipo akaanza kuwaambia: “Kwa kweli, mavuno+ ni mengi, lakini wafanyakazi+ ni wachache. Kwa hiyo mwombeni+ Bwana wa mavuno atume wafanyakazi+ katika mavuno yake.
35 Je, ninyi hamsemi kwamba bado kuna miezi minne kabla ya mavuno kuja? Tazama! Ninawaambia ninyi: Inueni macho yenu myatazame mashamba, kwamba ni meupe kwa ajili ya kuvunwa.+ Tayari