Marko 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akafanyiza kikundi cha watu kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume,” ili waendelee kuwa pamoja naye na awatume wakahubiri+ Marko 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kuwa na mamlaka ya kuwafukuza roho waovu.+ Marko 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+ Luka 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo akawaita pamoja wale kumi na wawili, akawapa nguvu na mamlaka juu ya roho wote waovu na za kuponya magonjwa.+
14 Naye akafanyiza kikundi cha watu kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume,” ili waendelee kuwa pamoja naye na awatume wakahubiri+
7 Sasa akawaita wale kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawili-wawili,+ naye akaanza kuwapa mamlaka juu ya roho wachafu.+
9 Ndipo akawaita pamoja wale kumi na wawili, akawapa nguvu na mamlaka juu ya roho wote waovu na za kuponya magonjwa.+