Luka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana roho takatifu+ itawafundisha ninyi saa ileile mambo mnayopaswa kusema.”+ Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+