Luka 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akamzaa mwana wake, mzaliwa wa kwanza,+ akamfunga vitambaa na kumlaza katika hori,+ kwa sababu hapakuwa na mahali kwa ajili yao katika chumba cha kukaa.
7 Naye akamzaa mwana wake, mzaliwa wa kwanza,+ akamfunga vitambaa na kumlaza katika hori,+ kwa sababu hapakuwa na mahali kwa ajili yao katika chumba cha kukaa.