Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.

  • Luka 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki nao watakilaumu; kwa maana walitubu kutokana na mahubiri ya Yona;+ lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Yona yupo hapa.

  • Yohana 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yesu akajibu, akawaambia: “Libomoeni hekalu+ hili, na katika siku tatu nitalisimamisha.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki