Marko 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mara nyingine tena akaingia katika sinagogi, na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza alikuwa humo.+ Luka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baadaye siku nyingine ya sabato+ akaingia katika sinagogi, akaanza kufundisha. Na kulikuwa na mtu mmoja ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.+
6 Baadaye siku nyingine ya sabato+ akaingia katika sinagogi, akaanza kufundisha. Na kulikuwa na mtu mmoja ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.+