Luka 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na baada ya kutazama huku na huku kuwaelekea wote, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+
10 Na baada ya kutazama huku na huku kuwaelekea wote, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+