Marko 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwani, ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama;+ Luka 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akijua mawazo+ yao akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika juu yake wenyewe hufanywa ukiwa, na nyumba iliyogawanyika juu yake yenyewe huanguka.+
17 Akijua mawazo+ yao akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika juu yake wenyewe hufanywa ukiwa, na nyumba iliyogawanyika juu yake yenyewe huanguka.+