13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako. Na wasimame, sasa, na kukuokoa, wanaoabudu mbingu, watazamaji wa nyota,+ ambao kwenye miezi mipya wanajulisha habari za mambo yatakayokuja juu yako.
9 Walipokuwa wamemsikiliza mfalme, waliondoka wakaenda; na, tazama! nyota waliyokuwa wameona wakati walipokuwa mashariki+ ikaenda mbele yao, mpaka ikaja kutua juu ya mahali alipokuwa yule mtoto mchanga.