Mathayo 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+ Luka 6:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Kwa maana hakuna mti mzuri unaozaa matunda yaliyooza; tena hakuna mti uliooza unaozaa matunda mazuri.+
17 Vivyo hivyo kila mti mzuri huzaa matunda mazuri, lakini kila mti uliooza huzaa matunda yasiyofaa;+
43 “Kwa maana hakuna mti mzuri unaozaa matunda yaliyooza; tena hakuna mti uliooza unaozaa matunda mazuri.+