Luka 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Wakati roho mchafu anapomtoka mtu, hupita katika mahali palipokauka akitafuta mahali pa kupumzika, na, baada ya kukosa, husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama.’+
24 “Wakati roho mchafu anapomtoka mtu, hupita katika mahali palipokauka akitafuta mahali pa kupumzika, na, baada ya kukosa, husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama.’+