20 Akawaambia: “Ni kwa sababu ya imani yenu kidogo, kwa maana kwa kweli ninawaambia, Mkiwa na imani inayotoshana na mbegu ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka, na hakuna jambo litakalowashinda.”+
19 Ni kama mbegu ya haradali ambayo mtu alichukua akaiweka katika bustani yake, nayo ikakua ikawa mti, nao ndege wa mbinguni+ wakapata makao katika matawi yake.”+