Mathayo 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wanafunzi wakaja na kumwambia: “Je, unajua kwamba Mafarisayo walikwazika waliposikia uliyosema?”+ 1 Petro 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+
12 Ndipo wanafunzi wakaja na kumwambia: “Je, unajua kwamba Mafarisayo walikwazika waliposikia uliyosema?”+
8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+