Marko 6:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa maana wote walimwona, wakataabika. Lakini mara moja akasema nao, naye akawaambia: “Jipeni moyo, ni mimi; msiogope.”+ Yohana 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini akawaambia: “Ni mimi; msiogope!”+ Matendo 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake+ na kusema: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi+ kamili katika Yerusalemu juu ya mambo yanayonihusu, vivyo hivyo utatoa ushahidi katika Roma pia.”+
50 Kwa maana wote walimwona, wakataabika. Lakini mara moja akasema nao, naye akawaambia: “Jipeni moyo, ni mimi; msiogope.”+
11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake+ na kusema: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi+ kamili katika Yerusalemu juu ya mambo yanayonihusu, vivyo hivyo utatoa ushahidi katika Roma pia.”+