Marko 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao walipoona baadhi ya wanafunzi wake wakila mlo wao kwa mikono najisi, yaani, ambayo haijanawishwa+— Luka 11:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Hata hivyo, Farisayo huyo akashangaa kuona kwamba hakunawa+ kwanza kabla ya chakula hicho. Yohana 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kama ilivyokuwa, kulikuwako mitungi sita ya maji ikiwa imekaa hapo kulingana na kanuni za utakaso+ za Wayahudi, kila mmoja ukiwa unaweza kuchukua vipimo viwili au vitatu vya maji.
2 Nao walipoona baadhi ya wanafunzi wake wakila mlo wao kwa mikono najisi, yaani, ambayo haijanawishwa+—
6 Kama ilivyokuwa, kulikuwako mitungi sita ya maji ikiwa imekaa hapo kulingana na kanuni za utakaso+ za Wayahudi, kila mmoja ukiwa unaweza kuchukua vipimo viwili au vitatu vya maji.