Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na moyo wao haukuwa imara kwake;+

      Nao hawakuwa waaminifu katika agano lake.+

  • Ezekieli 33:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wataingia ndani kwako, kama wanavyoingia watu, na kuketi mbele yako kama watu wangu;+ nao hakika watayasikia maneno yako lakini hawatayatenda,+ kwa maana wanaonyesha tamaa zenye uchu kwa kinywa chao nao moyo wao unafuatilia pato lao lisilo la haki.+

  • Marko 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’+

  • Wakolosai 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kuhusu mambo ambayo yote yamekusudiwa kuharibiwa kwa kutumiwa, kulingana na amri na mafundisho ya wanadamu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki