Mathayo 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 na yule roho mwovu alipokuwa amekwisha kufukuzwa yule bubu akaongea.+ Basi, ule umati ukashangaa+ na kusema: “Jambo kama hili halijapata kuonekana kamwe katika Israeli.” Marko 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa kweli, walikuwa wakistaajabu+ sana nao wakasema: “Amefanya mambo yote vema. Anafanya hata viziwi wasikie na wasioweza kusema, waseme.”+
33 na yule roho mwovu alipokuwa amekwisha kufukuzwa yule bubu akaongea.+ Basi, ule umati ukashangaa+ na kusema: “Jambo kama hili halijapata kuonekana kamwe katika Israeli.”
37 Kwa kweli, walikuwa wakistaajabu+ sana nao wakasema: “Amefanya mambo yote vema. Anafanya hata viziwi wasikie na wasioweza kusema, waseme.”+