26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+
17 Akijua hilo, akawaambia: “Kwa nini mnabishana kwa sababu hamna mikate?+ Je, bado hamjaelewa wala kupata maana? Je, mioyo yenu ni mizito isiweze kuelewa?+