Mathayo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.”+ Marko 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 wakati nilipoimega ile mikate mitano+ kwa ajili ya wale wanaume elfu tano, mliokota vikapu vingapi vilivyokuwa vimejaa vipande?” Wakamwambia: “Kumi na viwili.”+
19 wakati nilipoimega ile mikate mitano+ kwa ajili ya wale wanaume elfu tano, mliokota vikapu vingapi vilivyokuwa vimejaa vipande?” Wakamwambia: “Kumi na viwili.”+