Marko 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda vijiji vya Kaisaria Filipi, na njiani akaanza kuwauliza wanafunzi wake, akisema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+ Luka 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+
27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda vijiji vya Kaisaria Filipi, na njiani akaanza kuwauliza wanafunzi wake, akisema: “Watu wanasema mimi ni nani?”+
18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+