Yohana 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+ Yohana 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Huyo mwanamke akamwambia: “Ninajua kwamba Masihi+ anakuja, anayeitwa Kristo.+ Atakapofika, atatujulisha mambo yote waziwazi.” Yohana 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akamwambia: “Ndiyo, Bwana; nimeamini kwamba wewe ndiye Kristo Mwana wa Mungu, Yule anayekuja ulimwenguni.”+
41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+
25 Huyo mwanamke akamwambia: “Ninajua kwamba Masihi+ anakuja, anayeitwa Kristo.+ Atakapofika, atatujulisha mambo yote waziwazi.”
27 Akamwambia: “Ndiyo, Bwana; nimeamini kwamba wewe ndiye Kristo Mwana wa Mungu, Yule anayekuja ulimwenguni.”+