Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+

  • Marko 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mimi ninawaambia ninyi, Eliya,+ kwa kweli, amekuja, nao walimtendea mambo mengi kama walivyotaka, kama ilivyoandikwa juu yake.”+

  • Luka 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 akamfungua+ yule mtu aliyekuwa ametupwa gerezani kwa uchochezi wa uasi na kuua na ambaye wao walikuwa wakidai, lakini akamtia Yesu mikononi mwao wamtendee wanavyopenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki