Marko 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu, sasa akiona kwamba umati ulikuwa ukikimbia kuwaelekea, akamkemea+ yule roho mchafu, akamwambia: “Wewe roho bubu na kiziwi, ninakuagiza, toka ndani yake wala usimwingie tena.”
25 Yesu, sasa akiona kwamba umati ulikuwa ukikimbia kuwaelekea, akamkemea+ yule roho mchafu, akamwambia: “Wewe roho bubu na kiziwi, ninakuagiza, toka ndani yake wala usimwingie tena.”