35 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke.” Kwa hiyo, baada ya kumwangusha mtu huyo chini katikati yao, yule roho mwovu akamtoka bila kumuumiza.+
38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+