Luka 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke.” Kwa hiyo, baada ya kumwangusha mtu huyo chini katikati yao, yule roho mwovu akamtoka bila kumuumiza.+
35 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke.” Kwa hiyo, baada ya kumwangusha mtu huyo chini katikati yao, yule roho mwovu akamtoka bila kumuumiza.+