Marko 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya: “(Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atakutayarishia njia;)+ Yohana 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+
2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya: “(Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye atakutayarishia njia;)+
23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+