7 Mimi ninawaambia ninyi kwamba ndivyo kutakavyokuwa na shangwe zaidi mbinguni juu ya mtenda-dhambi mmoja anayetubu+ kuliko juu ya waadilifu 99 ambao hawahitaji kutubu.+
9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+