Marko 10:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Basi, wale wengine kumi waliposikia jambo hilo, wakaanza kuwaghadhibikia Yakobo na Yohana.+ Luka 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+
24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+