Mathayo 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alipokwisha kujua hilo, Yesu akaondoka. Wengi pia wakamfuata, naye akawaponya wote,+ Luka 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akashuka pamoja nao na kusimama mahali tambarare, na kulikuwa na umati mkubwa wa wanafunzi wake, na umati mkubwa wa watu+ kutoka Yudea yote na Yerusalemu na eneo la pwani la Tiro na Sidoni, waliokuja kumsikia na kuponywa magonjwa yao.+
17 Naye akashuka pamoja nao na kusimama mahali tambarare, na kulikuwa na umati mkubwa wa wanafunzi wake, na umati mkubwa wa watu+ kutoka Yudea yote na Yerusalemu na eneo la pwani la Tiro na Sidoni, waliokuja kumsikia na kuponywa magonjwa yao.+