Mathayo 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo wale roho waovu wakaanza kumsihi, wakisema: “Ukitufukuza, tutume tukaingie katika lile kundi la nguruwe.”+ Marko 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Pia, wakati uleule katika sinagogi lao kulikuwako na mtu aliyekuwa chini ya nguvu za roho mchafu, naye akapaaza sauti,+
31 Kwa hiyo wale roho waovu wakaanza kumsihi, wakisema: “Ukitufukuza, tutume tukaingie katika lile kundi la nguruwe.”+
23 Pia, wakati uleule katika sinagogi lao kulikuwako na mtu aliyekuwa chini ya nguvu za roho mchafu, naye akapaaza sauti,+