Marko 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akaendelea kuwaambia: “Nabii hakosi kuheshimiwa ila katika eneo lake la nyumbani+ na katikati ya watu wa jamaa yake na katika nyumba yake mwenyewe.”+
4 Lakini Yesu akaendelea kuwaambia: “Nabii hakosi kuheshimiwa ila katika eneo lake la nyumbani+ na katikati ya watu wa jamaa yake na katika nyumba yake mwenyewe.”+