Luka 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Siku moja alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wamekuja kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; nazo nguvu za Yehova zilikuwa hapo ili aponye.+ Luka 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na umati wote ulikuwa ukitafuta kumgusa,+ kwa sababu nguvu+ zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.
17 Siku moja alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wamekuja kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; nazo nguvu za Yehova zilikuwa hapo ili aponye.+