Mathayo 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na bado wale waliokula walikuwa wanaume karibu elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto wachanga.+ Yohana 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo wakavikusanya pamoja, nao wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya mikate mitano ya shayiri, ambavyo vilibakizwa na wale waliokuwa wamekula.+
21 Na bado wale waliokula walikuwa wanaume karibu elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto wachanga.+
13 Kwa hiyo wakavikusanya pamoja, nao wakajaza vikapu kumi na viwili kwa vipande vya mikate mitano ya shayiri, ambavyo vilibakizwa na wale waliokuwa wamekula.+